Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+ Maombolezo 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova ni mwema kwa yule anayemtumaini,+ kwa nafsi inayoendelea kumtafuta.+