Zaburi 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Iweni hodari, nayo mioyo yenu na iwe na nguvu,+Ninyi nyote mnaomngojea Yehova.+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+