Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Zaburi 62:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+Wokovu wangu unatoka kwake.+ Zaburi 71:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mimi, nitangoja daima,+Nami nitaongezea sifa zako zote. Maombolezo 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hili ndilo nitakalokumbuka moyoni mwangu.+ Ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kungojea.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+ Tito 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,