Mwanzo 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+ Zaburi 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+ Zaburi 62:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+Wokovu wangu unatoka kwake.+ Maombolezo 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+ Luka 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.
5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+
25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.