Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kweli nitaungoja wokovu kutoka kwako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+

      Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+

      ו [Waw]

      Nimekutumainia mchana kutwa.+

  • Zaburi 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+

      Wokovu wangu unatoka kwake.+

  • Maombolezo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+

  • Luka 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na, tazama! palikuwa na mtu mmoja katika Yerusalemu aliyeitwa Simeoni, na mtu huyo alikuwa mwadilifu na mwenye kumheshimu Mungu, akingojea faraja ya Israeli,+ na roho takatifu ilikuwa juu yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki