Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo 3:1

Marejeo

  • +Zb 71:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

    9/1/1988, uku. 26

    2/15/1987, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 3:2

Marejeo

  • +Kum 28:29; Isa 59:9; Yer 13:16

Maombolezo 3:3

Marejeo

  • +Isa 63:10

Maombolezo 3:4

Marejeo

  • +Zb 38:3
  • +Zb 51:8; Isa 38:13; Yer 50:17

Maombolezo 3:5

Marejeo

  • +Ayu 3:23
  • +Yer 8:14; 9:15; 23:15; Omb 3:19

Maombolezo 3:6

Marejeo

  • +Zb 88:6
  • +Zb 88:5; 143:3

Maombolezo 3:7

Marejeo

  • +Ayu 19:8; Zb 88:8; Ho. 2:6
  • +Yer 39:7; 52:11

Maombolezo 3:8

Marejeo

  • +Ayu 30:20; Zb 22:2; 80:4; 102:2; Met 15:29; Isa 1:15; Mik 3:4

Maombolezo 3:9

Marejeo

  • +Ayu 19:8
  • +Ayu 34:11; Isa 63:17

Maombolezo 3:10

Marejeo

  • +Ho. 13:8; Amo 5:19
  • +Ayu 10:16; 38:40; Ho. 5:14

Maombolezo 3:11

Marejeo

  • +Yer 6:8; 32:43

Maombolezo 3:12

Marejeo

  • +Zb 7:12
  • +Ayu 6:4; 7:20; 16:12; Zb 38:2

Maombolezo 3:13

Marejeo

  • +Ayu 6:4; 16:13

Maombolezo 3:14

Marejeo

  • +Ayu 30:1; Zb 44:13; Yer 20:7
  • +Ayu 30:9; Zb 69:12; 137:3

Maombolezo 3:15

Marejeo

  • +Ru 1:20; Ayu 9:18
  • +Yer 9:15; 23:15

Maombolezo 3:16

Marejeo

  • +Met 20:17
  • +Zb 102:9; Yer 6:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 3:17

Marejeo

  • +Mwa 41:30

Maombolezo 3:18

Marejeo

  • +Ayu 17:15; Zb 31:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 3:19

Marejeo

  • +Ne 9:32; Zb 137:1
  • +Yer 9:15; Omb 3:5

Maombolezo 3:20

Marejeo

  • +Zb 113:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 199-200

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 14

    6/1/2007, uku. 11

    2/15/1987, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 14; w07 6/1 11; cl 199

Maombolezo 3:21

Marejeo

  • +Zb 77:11
  • +Zb 130:7; Mik 7:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 14

    2/15/1987, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 14

Maombolezo 3:22

Marejeo

  • +Zb 25:6; 69:16
  • +Ezr 9:8; Zb 77:8; 106:45; Mal 3:6
  • +Ne 9:31; Zb 78:38; 86:15; Yer 30:11; Mik 7:18; Lu 1:50

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 122-123

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 122-123

Maombolezo 3:23

Marejeo

  • +Zb 30:5; Isa 33:2
  • +Kum 32:4; Zb 36:5; 89:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 22-23

Maombolezo 3:24

Marejeo

  • +Zb 16:5; 73:26; 119:57; 142:5
  • +Zb 31:24; 130:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2011, kur. 8-10

    2/15/1987, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/15 8-10

Maombolezo 3:25

Marejeo

  • +Zb 25:3; 39:7; 130:5; Isa 25:9; 30:18; Mik 7:7
  • +1Nya 28:9; Zb 38:9; Isa 26:9; Sef 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 23-24

Maombolezo 3:26

Marejeo

  • +Zb 31:24
  • +Zb 37:7
  • +Zb 36:6; 116:6; Met 20:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2007, kur. 18-19

    2/15/1987, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/1 18-19

Maombolezo 3:27

Marejeo

  • +Zb 119:71

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 11

    5/1/1997, uku. 32

    2/15/1987, kur. 23-24

    11/1/1986, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 11; w97 5/1 32

Maombolezo 3:28

Marejeo

  • +Zb 4:4; Omb 2:10
  • +Zb 39:9; Yer 15:17; Omb 3:39

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 23-24

Maombolezo 3:29

Marejeo

  • +Ayu 42:6; Eze 16:63
  • +2Sa 12:22; Yoe 2:14; Yon 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 11

    2/15/1987, kur. 23-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 11

Maombolezo 3:30

Marejeo

  • +Mik 5:1; Mt 5:39; 1Pe 2:23
  • +Zb 123:3; Isa 50:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 23-24

Maombolezo 3:31

Marejeo

  • +Zb 77:7; 94:14; Yer 3:12; 31:37; 32:40; Mik 7:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:32

Marejeo

  • +Ayu 5:18; Zb 30:5; Isa 54:7
  • +2Fa 13:23; Zb 13:5; 78:38; 103:9, 11; 106:45; Yer 31:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:33

Marejeo

  • +Isa 55:7; Yer 7:31; 18:8; Eze 33:11; Ebr 12:10; Yak 1:13; 2Pe 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:34

Marejeo

  • +Zb 69:33; 79:11; 102:20
  • +Isa 51:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:35

Marejeo

  • +Zb 12:5; 140:12; Met 17:15; 22:22; Isa 5:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:36

Marejeo

  • +Isa 59:15; Hab 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, kur. 24-25

Maombolezo 3:37

Marejeo

  • +Zb 33:9; Met 16:9; 19:21; Isa 46:10

Maombolezo 3:38

Marejeo

  • +Yak 3:11

Maombolezo 3:39

Marejeo

  • +Met 19:3
  • +Zb 103:10; Mik 7:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 11

    2/15/1987, uku. 25

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 11

Maombolezo 3:40

Marejeo

  • +Zb 119:59; Eze 18:28; Hag 1:5
  • +Kum 4:30; Isa 55:7; Ho. 6:1; Yoe 2:13; Yak 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, uku. 25

Maombolezo 3:41

Marejeo

  • +Kum 4:29; 2Nya 7:14; 34:27; Zb 28:2; 119:58

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1987, uku. 25

Maombolezo 3:42

Marejeo

  • +Ne 9:26; Isa 1:2; Da 9:5
  • +2Fa 24:4; Eze 24:13; Da 9:12

Maombolezo 3:43

Marejeo

  • +Met 15:8; 1Pe 3:12
  • +Kum 28:64
  • +Kum 4:26; Omb 2:2; Eze 9:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 3:44

Marejeo

  • +Omb 2:1
  • +Zb 80:4; Met 15:29; 28:9; Isa 1:15; Yer 14:11; Mik 3:4; Zek 7:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 3:45

Marejeo

  • +Kum 28:37; Yer 6:30

Maombolezo 3:46

Marejeo

  • +Ayu 16:10; Zb 22:13; Omb 2:16

Maombolezo 3:47

Marejeo

  • +Kum 28:66; Isa 24:18; Yer 48:44
  • +Isa 51:19; Yer 4:6; Omb 2:13

Maombolezo 3:48

Marejeo

  • +Zb 119:136; Yer 9:1

Maombolezo 3:49

Marejeo

  • +Yer 14:17; Omb 1:16

Maombolezo 3:50

Marejeo

  • +Zb 80:14; 102:19; Isa 63:15

Maombolezo 3:51

Marejeo

  • +Kum 28:34; Yer 14:18
  • +Yer 11:22; Omb 2:21

Maombolezo 3:52

Marejeo

  • +1Sa 26:20; Zb 11:1
  • +1Sa 26:18; Zb 35:7; 69:4; 109:3; 119:161; Yer 37:18

Maombolezo 3:53

Marejeo

  • +Yer 37:20; 38:6

Maombolezo 3:54

Marejeo

  • +Zb 18:4; 69:2; 88:17; 124:4
  • +Zb 31:22

Maombolezo 3:55

Marejeo

  • +Zb 88:6; 116:4; 130:1; Yon 2:2

Maombolezo 3:56

Marejeo

  • +Zb 3:4; 6:8; 116:1
  • +Zb 55:1

Maombolezo 3:57

Marejeo

  • +Zb 69:18; 145:18; Isa 58:9; Yak 4:8
  • +Yer 1:8

Maombolezo 3:58

Marejeo

  • +Zb 7:8; 35:1; 69:18; Yer 11:20; 51:36
  • +Zb 71:23; Yer 50:34

Maombolezo 3:59

Marejeo

  • +Yer 15:10
  • +1Sa 25:39; Zb 9:4; 35:23; 43:1; Yer 51:36

Maombolezo 3:60

Marejeo

  • +Zb 10:14; Yer 11:19

Maombolezo 3:61

Marejeo

  • +Zb 74:18; 89:50; Yer 11:19; 18:18

Maombolezo 3:62

Marejeo

  • +Zb 59:12; 140:3
  • +Yer 38:4

Maombolezo 3:63

Marejeo

  • +Zb 1:1; 139:2
  • +Ayu 30:9; Omb 3:14

Maombolezo 3:64

Marejeo

  • +Ayu 34:11; Zb 28:4; Yer 11:20; 2Ti 4:14

Maombolezo 3:65

Marejeo

  • +Kum 2:30; Yer 18:12; Ro 2:5; Ebr 3:12
  • +Kum 28:15; Yer 17:5

Maombolezo 3:66

Marejeo

  • +Kum 4:26; 28:20; Zb 35:6; Yer 11:23
  • +Zb 8:3; Yer 10:12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 3:1Zb 71:20
Omb. 3:2Kum 28:29; Isa 59:9; Yer 13:16
Omb. 3:3Isa 63:10
Omb. 3:4Zb 38:3
Omb. 3:4Zb 51:8; Isa 38:13; Yer 50:17
Omb. 3:5Ayu 3:23
Omb. 3:5Yer 8:14; 9:15; 23:15; Omb 3:19
Omb. 3:6Zb 88:6
Omb. 3:6Zb 88:5; 143:3
Omb. 3:7Ayu 19:8; Zb 88:8; Ho. 2:6
Omb. 3:7Yer 39:7; 52:11
Omb. 3:8Ayu 30:20; Zb 22:2; 80:4; 102:2; Met 15:29; Isa 1:15; Mik 3:4
Omb. 3:9Ayu 19:8
Omb. 3:9Ayu 34:11; Isa 63:17
Omb. 3:10Ho. 13:8; Amo 5:19
Omb. 3:10Ayu 10:16; 38:40; Ho. 5:14
Omb. 3:11Yer 6:8; 32:43
Omb. 3:12Zb 7:12
Omb. 3:12Ayu 6:4; 7:20; 16:12; Zb 38:2
Omb. 3:13Ayu 6:4; 16:13
Omb. 3:14Ayu 30:1; Zb 44:13; Yer 20:7
Omb. 3:14Ayu 30:9; Zb 69:12; 137:3
Omb. 3:15Ru 1:20; Ayu 9:18
Omb. 3:15Yer 9:15; 23:15
Omb. 3:16Met 20:17
Omb. 3:16Zb 102:9; Yer 6:26
Omb. 3:17Mwa 41:30
Omb. 3:18Ayu 17:15; Zb 31:22
Omb. 3:19Ne 9:32; Zb 137:1
Omb. 3:19Yer 9:15; Omb 3:5
Omb. 3:20Zb 113:7
Omb. 3:21Zb 77:11
Omb. 3:21Zb 130:7; Mik 7:7
Omb. 3:22Zb 25:6; 69:16
Omb. 3:22Ezr 9:8; Zb 77:8; 106:45; Mal 3:6
Omb. 3:22Ne 9:31; Zb 78:38; 86:15; Yer 30:11; Mik 7:18; Lu 1:50
Omb. 3:23Zb 30:5; Isa 33:2
Omb. 3:23Kum 32:4; Zb 36:5; 89:2
Omb. 3:24Zb 16:5; 73:26; 119:57; 142:5
Omb. 3:24Zb 31:24; 130:7
Omb. 3:25Zb 25:3; 39:7; 130:5; Isa 25:9; 30:18; Mik 7:7
Omb. 3:251Nya 28:9; Zb 38:9; Isa 26:9; Sef 2:3
Omb. 3:26Zb 31:24
Omb. 3:26Zb 37:7
Omb. 3:26Zb 36:6; 116:6; Met 20:22
Omb. 3:27Zb 119:71
Omb. 3:28Zb 4:4; Omb 2:10
Omb. 3:28Zb 39:9; Yer 15:17; Omb 3:39
Omb. 3:29Ayu 42:6; Eze 16:63
Omb. 3:292Sa 12:22; Yoe 2:14; Yon 3:9
Omb. 3:30Mik 5:1; Mt 5:39; 1Pe 2:23
Omb. 3:30Zb 123:3; Isa 50:6
Omb. 3:31Zb 77:7; 94:14; Yer 3:12; 31:37; 32:40; Mik 7:18
Omb. 3:32Ayu 5:18; Zb 30:5; Isa 54:7
Omb. 3:322Fa 13:23; Zb 13:5; 78:38; 103:9, 11; 106:45; Yer 31:20
Omb. 3:33Isa 55:7; Yer 7:31; 18:8; Eze 33:11; Ebr 12:10; Yak 1:13; 2Pe 3:9
Omb. 3:34Zb 69:33; 79:11; 102:20
Omb. 3:34Isa 51:23
Omb. 3:35Zb 12:5; 140:12; Met 17:15; 22:22; Isa 5:23
Omb. 3:36Isa 59:15; Hab 1:13
Omb. 3:37Zb 33:9; Met 16:9; 19:21; Isa 46:10
Omb. 3:38Yak 3:11
Omb. 3:39Met 19:3
Omb. 3:39Zb 103:10; Mik 7:9
Omb. 3:40Zb 119:59; Eze 18:28; Hag 1:5
Omb. 3:40Kum 4:30; Isa 55:7; Ho. 6:1; Yoe 2:13; Yak 4:8
Omb. 3:41Kum 4:29; 2Nya 7:14; 34:27; Zb 28:2; 119:58
Omb. 3:42Ne 9:26; Isa 1:2; Da 9:5
Omb. 3:422Fa 24:4; Eze 24:13; Da 9:12
Omb. 3:43Met 15:8; 1Pe 3:12
Omb. 3:43Kum 28:64
Omb. 3:43Kum 4:26; Omb 2:2; Eze 9:10
Omb. 3:44Omb 2:1
Omb. 3:44Zb 80:4; Met 15:29; 28:9; Isa 1:15; Yer 14:11; Mik 3:4; Zek 7:13
Omb. 3:45Kum 28:37; Yer 6:30
Omb. 3:46Ayu 16:10; Zb 22:13; Omb 2:16
Omb. 3:47Kum 28:66; Isa 24:18; Yer 48:44
Omb. 3:47Isa 51:19; Yer 4:6; Omb 2:13
Omb. 3:48Zb 119:136; Yer 9:1
Omb. 3:49Yer 14:17; Omb 1:16
Omb. 3:50Zb 80:14; 102:19; Isa 63:15
Omb. 3:51Kum 28:34; Yer 14:18
Omb. 3:51Yer 11:22; Omb 2:21
Omb. 3:521Sa 26:20; Zb 11:1
Omb. 3:521Sa 26:18; Zb 35:7; 69:4; 109:3; 119:161; Yer 37:18
Omb. 3:53Yer 37:20; 38:6
Omb. 3:54Zb 18:4; 69:2; 88:17; 124:4
Omb. 3:54Zb 31:22
Omb. 3:55Zb 88:6; 116:4; 130:1; Yon 2:2
Omb. 3:56Zb 3:4; 6:8; 116:1
Omb. 3:56Zb 55:1
Omb. 3:57Zb 69:18; 145:18; Isa 58:9; Yak 4:8
Omb. 3:57Yer 1:8
Omb. 3:58Zb 7:8; 35:1; 69:18; Yer 11:20; 51:36
Omb. 3:58Zb 71:23; Yer 50:34
Omb. 3:59Yer 15:10
Omb. 3:591Sa 25:39; Zb 9:4; 35:23; 43:1; Yer 51:36
Omb. 3:60Zb 10:14; Yer 11:19
Omb. 3:61Zb 74:18; 89:50; Yer 11:19; 18:18
Omb. 3:62Zb 59:12; 140:3
Omb. 3:62Yer 38:4
Omb. 3:63Zb 1:1; 139:2
Omb. 3:63Ayu 30:9; Omb 3:14
Omb. 3:64Ayu 34:11; Zb 28:4; Yer 11:20; 2Ti 4:14
Omb. 3:65Kum 2:30; Yer 18:12; Ro 2:5; Ebr 3:12
Omb. 3:65Kum 28:15; Yer 17:5
Omb. 3:66Kum 4:26; 28:20; Zb 35:6; Yer 11:23
Omb. 3:66Zb 8:3; Yer 10:12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 3:1-66

Maombolezo

א [ʼAʹleph]

3 Mimi ndiye mwanamume ambaye ameona mateso+ kwa sababu ya fimbo ya ghadhabu yake.

 2 Mimi ndiye ameongoza, naye hunitembeza katika giza wala si katika nuru.+

 3 Kwa kweli, yeye hugeuza tena na tena mkono wake juu yangu mchana kutwa.+

ב [Behth]

 4 Amefanya nyama yangu na ngozi yangu ichakae.+ Amevunja mifupa yangu.+

 5 Amejenga juu yangu, ili anizunguke+ kwa mmea wenye sumu+ pamoja na magumu.

 6 Amenifanya niketi mahali penye giza+ kama watu waliokufa zamani.+

ג [Giʹmel]

 7 Amenizuia kana kwamba kwa ukuta wa mawe, ili nisiweze kutoka.+ Amefanya pingu zangu za shaba+ ziwe nzito.

 8 Pia, nikiomba na kulilia msaada, yeye kwa kweli huizuia sala yangu.+

 9 Amezuia njia zangu kwa mawe yaliyochongwa.+ Amepotosha barabara zangu.+

ד [Daʹleth]

10 Kwangu, yeye ni kama dubu anayevizia,+ kama simba mafichoni.+

11 Amevuruga njia zangu, naye huniachilia niwe bure tu. Amenifanya niwe mtu aliyeachwa ukiwa.+

12 Amekanyaga upinde wake,+ naye huniweka niwe shabaha ya mshale.+

ה [Heʼ]

13 Ameingiza ndani ya figo zangu mishale, wana wa podo lake.+

14 Nimekuwa kitu cha kuchekwa+ na watu wote wanaonipinga, nimekuwa kichwa cha wimbo wao mchana kutwa.+

15 Amenishibisha vitu vichungu.+ Amenijaza pakanga.+

ו [Waw]

16 Naye huvunja meno yangu kwa changarawe.+ Amenifanya nijikunje katika majivu.+

17 Wewe pia hunitupilia mbali ili nafsi yangu isiwe na amani. Nimepoteza kumbukumbu ya mema.+

18 Nami huendelea kusema: “Utukufu wangu umeangamia, na tarajio langu kutoka kwa Yehova.”+

ז [Zaʹyin]

19 Ukumbuke mateso yangu na hali yangu ya kukosa makao,+ pakanga na mmea wenye sumu.+

20 Hakika nafsi yako itakumbuka na kuinama juu yangu.+

21 Hili ndilo nitakalokumbuka moyoni mwangu.+ Ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kungojea.+

ח [Chehth]

22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+

23 Ni mapya kila asubuhi.+ Uaminifu wako ni mwingi.+

24 “Yehova ni fungu langu,”+ nafsi yangu imesema, “ndiyo sababu nitaonyesha mtazamo wa kumngojea.”+

ט [Tehth]

25 Yehova ni mwema kwa yule anayemtumaini,+ kwa nafsi inayoendelea kumtafuta.+

26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+

27 Ni jambo jema kwa mwanamume kuchukua nira wakati wa ujana wake.+

י [Yohdh]

28 Acha aketi katika upweke na kukaa kimya,+ kwa sababu ameweka kitu fulani juu yake.+

29 Acha atie kinywa chake mavumbini.+ Labda kuna tumaini fulani.+

30 Acha ampe shavu lake yule anayempiga.+ Acha apate shibe yake ya shutuma.+

כ [Kaph]

31 Kwa maana Yehova hataendelea kuwatupilia mbali watu mpaka wakati usio na kipimo.+

32 Kwa maana, ijapokuwa ameleta huzuni,+ hakika pia ataonyesha rehema kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.+

33 Kwa maana si kutoka moyoni mwake mwenyewe kwamba amewatesa au kuwahuzunisha wana wa binadamu.+

ל [Laʹmedh]

34 Kuponda wafungwa wote wa dunia+ chini ya miguu ya mtu,+

35 Kugeuza kando hukumu ya mwanamume mbele za uso wa Aliye Juu Zaidi,+

36 Kupotosha mtu katika kesi yake, Yehova mwenyewe hayakubali mambo hayo.+

מ [Mem]

37 Basi, ni nani amesema kwamba jambo litokee wakati Yehova mwenyewe hakuamuru?+

38 Mambo mabaya na yaliyo mema hayatoki katika kinywa cha Aliye Juu Zaidi.+

39 Mwanadamu aliye hai, mwanamume, anawezaje kuzoea kulalamika+ kwa sababu ya dhambi yake?+

נ [Nun]

40 Na tutafute njia zetu na kuzichunguza,+ nasi turudi kabisa kwa Yehova.+

41 Acheni tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu aliye mbinguni:+

42 “Sisi wenyewe tumekosa, nasi tumejiendesha kwa uasi.+ Wewe mwenyewe hukusamehe.+

ס [Saʹmekh]

43 Umeweka kizuizi kwa hasira usiweze kufikiwa,+ nawe unaendelea kutufuatilia.+ Umeua; hukuonyesha huruma yoyote.+

44 Umeweka kizuizi cha wingu kubwa usiweze kufikiwa,+ ili sala isiweze kupenya.+

45 Unatufanya tuwe takataka na uchafu katikati ya vikundi vya watu.”+

פ [Peʼ]

46 Adui zetu wote wamefungua vinywa vyao juu yetu.+

47 Hofu na shimo vimekuwa vyetu,+ ukiwa na kuvunjika.+

48 Jicho langu huendelea kutiririka vijito vya maji kwa sababu ya kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

ע [ʽAʹyin]

49 Jicho langu limemwagika nalo halitatulia, hivi kwamba hakuna mapumziko,+

50 Mpaka Yehova atakapotazama chini na kuona kutoka mbinguni.+

51 Jicho langu limeitendea nafsi yangu vikali,+ kwa sababu ya binti wote wa jiji langu.+

צ [Tsa·dhehʹ]

52 Hakika adui zangu wameniwinda kama ndege,+ bila sababu.+

53 Wamenyamazisha uhai wangu shimoni kwenyewe,+ nao wakaendelea kunitupia mawe.

54 Maji yametiririka juu ya kichwa changu.+ Nimesema: “Hakika nitakatiliwa mbali!”+

ק [Qohph]

55 Nimeita jina lako, Ee Yehova, kutoka katika shimo la chini kabisa.+

56 Uisikilize sauti yangu.+ Usifiche sikio lako kwa ombi langu la kitulizo, kwa kilio changu cha kuomba msaada.+

57 Umekaribia katika siku ile ambayo niliendelea kukuita.+ Ukasema: “Usiogope.”+

ר [Rehsh]

58 Umechukua mashindano ya nafsi yangu, Ee Yehova.+ Umekomboa uhai wangu.+

59 Umeona kosa nililotendewa, Ee Yehova.+ Tafadhali fanya hukumu kwa ajili yangu.+

60 Umeona kisasi chao chote, fikira zao zote juu yangu.+

ש [Sin] au [Shin]

61 Umesikia shutuma zao, fikira zao zote juu yangu, Ee Yehova,+

62 Midomo ya wale wanaosimama kunipinga+ na kunong’ona kwao juu yangu mchana kutwa.+

63 Tazama wanapoketi na wanaposimama.+ Mimi ndiye kiini cha wimbo wao.+

ת [Taw]

64 Utawalipa tendo fulani, kulingana na kazi ya mikono yao, Ee Yehova.+

65 Utawapa dharau la moyo,+ laana yako kwao.+

66 Utawafuatilia katika hasira na kuwaangamiza+ chini ya mbingu za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki