Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+

  • Zaburi 35:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+

      Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+

  • Zaburi 69:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+

      Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+

      Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi.

  • Zaburi 109:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Na kwa maneno ya chuki wamenizingira,+

      Nao wanaendelea kupigana nami bila sababu.+

  • Zaburi 119:161
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 161 Wakuu wamenitesa bila sababu,+

      Lakini moyo wangu umekuwa ukiyahofu maneno yako.+

  • Yeremia 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia: “Ni kwa njia gani nimetenda dhambi juu yako na juu ya watumishi wako na juu ya kikundi hiki cha watu,+ hivi kwamba mmenitia kizuizini?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki