1 Samweli 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+ Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 69:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi. Zaburi 109:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa maneno ya chuki wamenizingira,+Nao wanaendelea kupigana nami bila sababu.+ Zaburi 119:161 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 161 Wakuu wamenitesa bila sababu,+Lakini moyo wangu umekuwa ukiyahofu maneno yako.+ Yeremia 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia: “Ni kwa njia gani nimetenda dhambi juu yako na juu ya watumishi wako na juu ya kikundi hiki cha watu,+ hivi kwamba mmenitia kizuizini?
18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi.
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia: “Ni kwa njia gani nimetenda dhambi juu yako na juu ya watumishi wako na juu ya kikundi hiki cha watu,+ hivi kwamba mmenitia kizuizini?