2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu. Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 69:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi. Yohana 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini ni ili neno lililoandikwa katika Sheria yao lipate kutimizwa, ‘Walinichukia bila sababu.’+
12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi.