Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+ Zaburi 69:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi. Luka 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikuona jambo lolote linalostahili kifo ndani yake; kwa hiyo nitamwadhibu na kumfungua.”+
19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+
4 Wale wanaonichukia bila sababu wamekuwa wengi hata kuliko nywele za kichwa changu.+Wale wanaoninyamazisha, wakiwa ni adui zangu bila sababu, wamekuwa wengi.+Kisha nikarudisha kile ambacho sikuwa nimechukua kwa unyang’anyi.
22 Mara ya tatu akawaambia: “Kwa nini, ni jambo gani baya alilofanya mtu huyu? Mimi sikuona jambo lolote linalostahili kifo ndani yake; kwa hiyo nitamwadhibu na kumfungua.”+