Mathayo 27:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akasema: “Kwani, amefanya jambo gani baya?” Bado wao wakaendelea kupaaza sauti hata zaidi: “Atundikwe mtini!”+ Marko 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Pilato akaendelea kuwaambia: “Kwani, alifanya jambo gani baya?” Bado wao wakapaaza sauti hata zaidi: “Mtundike mtini!”+
23 Akasema: “Kwani, amefanya jambo gani baya?” Bado wao wakaendelea kupaaza sauti hata zaidi: “Atundikwe mtini!”+
14 Lakini Pilato akaendelea kuwaambia: “Kwani, alifanya jambo gani baya?” Bado wao wakapaaza sauti hata zaidi: “Mtundike mtini!”+