Marko 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Pilato akaendelea kuwaambia: “Kwani, alifanya jambo gani baya?” Bado wao wakapaaza sauti hata zaidi: “Mtundike mtini!”+ Luka 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo wakaanza kufanya haraka-haraka, kwa sauti zilizo kubwa, wakidai kwamba atundikwe mtini; na sauti zao zikaanza kushinda.+ Matendo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+
14 Lakini Pilato akaendelea kuwaambia: “Kwani, alifanya jambo gani baya?” Bado wao wakapaaza sauti hata zaidi: “Mtundike mtini!”+
23 Ndipo wakaanza kufanya haraka-haraka, kwa sauti zilizo kubwa, wakidai kwamba atundikwe mtini; na sauti zao zikaanza kushinda.+
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+