Kutoka 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usiufuate umati kwa ajili ya makusudio maovu;+ wala usishuhudie juu ya ubishi ili kugeuka kando pamoja na umati kwa kusudi la kupotosha haki.+ Yohana 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, wakapaaza sauti: “Mwondolee mbali! Mwondolee mbali! Mtundike mtini!” Pilato akawaambia: “Je, nimtundike mtini mfalme wenu?” Wakuu wa makuhani wakajibu: “Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.”+
2 Usiufuate umati kwa ajili ya makusudio maovu;+ wala usishuhudie juu ya ubishi ili kugeuka kando pamoja na umati kwa kusudi la kupotosha haki.+
15 Hata hivyo, wakapaaza sauti: “Mwondolee mbali! Mwondolee mbali! Mtundike mtini!” Pilato akawaambia: “Je, nimtundike mtini mfalme wenu?” Wakuu wa makuhani wakajibu: “Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.”+