Methali 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwanangu, watenda-dhambi wakijaribu kukushawishi, usikubali.+ Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+ 1 Petro 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ninyi hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo huo kwenda kwenye dimbwi lilelile la chini la upotovu,+ wao wanashangaa na kuendelea kuwatukana ninyi.+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+
4 Kwa sababu ninyi hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo huo kwenda kwenye dimbwi lilelile la chini la upotovu,+ wao wanashangaa na kuendelea kuwatukana ninyi.+