Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+ 1 Wakorintho 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sababu ya kujisifu+ kwenu si nzuri. Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachisha+ donge lote?+ 2 Petro 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata+ matendo yao ya mwenendo mpotovu,+ na kwa sababu ya hao ile njia ya kweli itatukanwa.+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+
2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata+ matendo yao ya mwenendo mpotovu,+ na kwa sababu ya hao ile njia ya kweli itatukanwa.+