Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+ Matendo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+ Waebrania 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na acheni tufikiriane ili kuchocheana+ katika upendo na matendo mazuri,+
13 Sasa walipoona maneno ya waziwazi ya Petro na Yohana, na kufahamu kwamba walikuwa watu wasio na elimu na wa kawaida tu,+ wakaanza kustaajabu. Nao wakaanza kutambua juu yao kwamba walikuwa pamoja na Yesu;+