Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa baada ya mambo hayo ikawa kwamba mke wa bwana wake akaanza kuinua macho+ yake kumwelekea Yosefu na kusema: “Lala nami.”+

  • Kutoka 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Usiufuate umati kwa ajili ya makusudio maovu;+ wala usishuhudie juu ya ubishi ili kugeuka kando pamoja na umati kwa kusudi la kupotosha haki.+

  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • Waroma 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki