Matendo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+ Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua+ Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika mtini.+
23 mwanamume huyu, kama aliyetolewa kwa shauri lililoamuliwa na kwa ujuzi wa kimbele wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kwa mkono wa waasi-sheria na kumwondolea mbali.+