44 Sasa akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa katika sheria ya Musa na katika Manabii+ na Zaburi+ juu yangu lazima yatimizwe.”
11 Yesu akamjibu: “Wewe hungekuwa na mamlaka hata kidogo juu yangu kama usingepewa kutoka juu.+ Ndiyo sababu mtu aliyenitia mikononi mwako ana dhambi kubwa zaidi.”