Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Zaburi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+ Zaburi 69:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+ Zaburi 78:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+ Zaburi 118:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+Limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Zaburi 132:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+
9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+
2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+
11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+