Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+

      Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+

      Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+

  • Zaburi 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+

  • Zaburi 27:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+

      Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+

      Na yeye anayetokeza jeuri.+

  • Zaburi 69:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+

      Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+

  • Zaburi 78:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+

      Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+

  • Zaburi 118:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+

      Limekuwa jiwe kuu la pembeni.+

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi,+

      Kwa kweli hataliacha:+

      “Kati ya uzao wa tumbo lako+

      Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki