Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akasema: “Nimekuwa na wivu+ kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana wana wa Israeli wameliacha agano lako,+ wamezibomoa+ madhabahu zako, nao wamewaua manabii wako kwa upanga,+ hivi kwamba ni mimi peke yangu nimebaki;+ nao wanaanza kuitafuta nafsi yangu ili kuiondoa.”+

  • Zaburi 119:139
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 139 Bidii yangu imenimaliza,+

      Kwa sababu wapinzani wangu wameyasahau maneno yako.+

  • Mathayo 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na Yesu akaingia katika hekalu na kuwafukuza wale wote waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, na kuzipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.+

  • Marko 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa wakafika Yerusalemu. Huko akaingia katika hekalu akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza na kununua katika hekalu, naye akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa;+

  • Yohana 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba imeandikwa: “Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanila.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki