2 Wafalme 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha akasema: “Enda pamoja nami, utazame jinsi ambavyo sivumilii ushindani+ wowote kumwelekea Yehova.” Nao wakaendelea kumwendesha pamoja naye katika gari lake la vita. Zaburi 69:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+ Yohana 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba imeandikwa: “Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanila.”+
16 Kisha akasema: “Enda pamoja nami, utazame jinsi ambavyo sivumilii ushindani+ wowote kumwelekea Yehova.” Nao wakaendelea kumwendesha pamoja naye katika gari lake la vita.
9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+