Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 10:1

Marejeo

  • +Amu 8:30; 12:14
  • +1Fa 16:29
  • +Kum 16:18
  • +1Fa 21:8

2 Wafalme 10:2

Marejeo

  • +Met 21:31

2 Wafalme 10:3

Marejeo

  • +2Fa 10:1

2 Wafalme 10:4

Marejeo

  • +2Fa 9:24, 27
  • +Lu 14:31

2 Wafalme 10:5

Marejeo

  • +2Fa 10:1

2 Wafalme 10:6

Marejeo

  • +2Fa 9:32
  • +Kum 5:9; Ayu 21:19; Isa 14:21; Ufu 2:23
  • +2Fa 9:30

2 Wafalme 10:7

Marejeo

  • +Amu 9:5; 1Fa 21:21; Zb 109:13

2 Wafalme 10:8

Marejeo

  • +2Sa 4:10; 11:19
  • +2Sa 20:22
  • +Kum 21:23

2 Wafalme 10:9

Marejeo

  • +1Sa 24:17
  • +2Fa 9:14
  • +2Fa 9:24

2 Wafalme 10:10

Marejeo

  • +1Sa 15:29; Isa 14:27; 44:26; 55:11
  • +1Fa 21:24
  • +1Fa 21:19, 22; 2Fa 9:7, 36

2 Wafalme 10:11

Marejeo

  • +Zb 125:5; Met 13:20
  • +1Fa 18:19; 22:6; 2Fa 23:20
  • +1Fa 21:21

2 Wafalme 10:13

Marejeo

  • +2Nya 22:8
  • +2Fa 8:29; 9:21; 2Nya 22:1

2 Wafalme 10:14

Marejeo

  • +1Fa 20:18
  • +2Nya 22:8

2 Wafalme 10:15

Marejeo

  • +Yer 35:6, 19
  • +1Nya 2:55
  • +Mwa 47:7; Hes 6:23; Ru 2:4; Ro 12:14
  • +1Nya 12:17; Met 17:17
  • +Zek 8:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    8/1/2005, uku. 11

    1/1/1998, kur. 12-13

    Wapiga-Mbiu, kur. 165-166

    “Kila Andiko,” uku. 74

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/1 11; w98 1/1 12-13; jv 165-166

2 Wafalme 10:16

Marejeo

  • +Hes 25:11; 1Fa 19:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1998, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 1/1 12-13

2 Wafalme 10:17

Marejeo

  • +2Fa 9:8; 2Nya 22:7; Zb 58:10
  • +1Fa 21:21; 2Fa 9:26; Zb 9:16

2 Wafalme 10:18

Marejeo

  • +1Fa 16:32; 18:22, 40; 2Fa 3:2

2 Wafalme 10:19

Marejeo

  • +2Fa 3:13
  • +2Fa 10:21
  • +2Fa 10:11
  • +Met 24:6; Mhu 9:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2011, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 5

2 Wafalme 10:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1989, uku. 25

2 Wafalme 10:21

Marejeo

  • +1Fa 11:35
  • +1Fa 16:32

2 Wafalme 10:23

Marejeo

  • +2Fa 10:15; Yer 35:6, 19
  • +1Fa 18:22

2 Wafalme 10:24

Marejeo

  • +1Fa 20:39

2 Wafalme 10:25

Marejeo

  • +Kut 32:27; Kum 13:6, 8; Eze 9:5
  • +2Fa 7:17; 9:25

2 Wafalme 10:26

Marejeo

  • +Law 26:1; 1Fa 14:23
  • +Kum 7:25; 2Sa 5:21; 2Fa 19:18

2 Wafalme 10:27

Marejeo

  • +Law 26:30; Kum 7:5
  • +1Fa 16:32
  • +Ezr 6:11; Da 2:5

2 Wafalme 10:29

Marejeo

  • +1Fa 13:33
  • +1Fa 14:16; 2Fa 14:24
  • +1Fa 12:28; Ho. 8:6
  • +1Fa 12:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2011, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 5

2 Wafalme 10:30

Marejeo

  • +Eze 29:20
  • +1Fa 21:21
  • +2Fa 13:1, 10; 14:23; 15:8, 12; Ayu 34:11; Ebr 6:10

2 Wafalme 10:31

Marejeo

  • +Kum 10:12; 1Fa 2:4; Zb 78:10; Met 4:23; Ho. 1:4; Ebr 10:38
  • +1Fa 12:30; 13:34; 14:16

2 Wafalme 10:32

Marejeo

  • +1Fa 19:17; 2Fa 8:12; 13:22; Amo 1:4

2 Wafalme 10:33

Marejeo

  • +Kum 3:15; Yos 22:9
  • +Kum 3:16
  • +Hes 32:33
  • +Kum 3:13
  • +Yos 13:9
  • +Kum 28:63; Yos 13:12

2 Wafalme 10:34

Marejeo

  • +1Fa 14:19; 2Fa 13:8

2 Wafalme 10:35

Marejeo

  • +2Sa 7:12
  • +2Fa 13:1, 7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 10:1Amu 8:30; 12:14
2 Fal. 10:11Fa 16:29
2 Fal. 10:1Kum 16:18
2 Fal. 10:11Fa 21:8
2 Fal. 10:2Met 21:31
2 Fal. 10:32Fa 10:1
2 Fal. 10:42Fa 9:24, 27
2 Fal. 10:4Lu 14:31
2 Fal. 10:52Fa 10:1
2 Fal. 10:62Fa 9:32
2 Fal. 10:6Kum 5:9; Ayu 21:19; Isa 14:21; Ufu 2:23
2 Fal. 10:62Fa 9:30
2 Fal. 10:7Amu 9:5; 1Fa 21:21; Zb 109:13
2 Fal. 10:82Sa 4:10; 11:19
2 Fal. 10:82Sa 20:22
2 Fal. 10:8Kum 21:23
2 Fal. 10:91Sa 24:17
2 Fal. 10:92Fa 9:14
2 Fal. 10:92Fa 9:24
2 Fal. 10:101Sa 15:29; Isa 14:27; 44:26; 55:11
2 Fal. 10:101Fa 21:24
2 Fal. 10:101Fa 21:19, 22; 2Fa 9:7, 36
2 Fal. 10:11Zb 125:5; Met 13:20
2 Fal. 10:111Fa 18:19; 22:6; 2Fa 23:20
2 Fal. 10:111Fa 21:21
2 Fal. 10:132Nya 22:8
2 Fal. 10:132Fa 8:29; 9:21; 2Nya 22:1
2 Fal. 10:141Fa 20:18
2 Fal. 10:142Nya 22:8
2 Fal. 10:15Yer 35:6, 19
2 Fal. 10:151Nya 2:55
2 Fal. 10:15Mwa 47:7; Hes 6:23; Ru 2:4; Ro 12:14
2 Fal. 10:151Nya 12:17; Met 17:17
2 Fal. 10:15Zek 8:23
2 Fal. 10:16Hes 25:11; 1Fa 19:10
2 Fal. 10:172Fa 9:8; 2Nya 22:7; Zb 58:10
2 Fal. 10:171Fa 21:21; 2Fa 9:26; Zb 9:16
2 Fal. 10:181Fa 16:32; 18:22, 40; 2Fa 3:2
2 Fal. 10:192Fa 3:13
2 Fal. 10:192Fa 10:21
2 Fal. 10:192Fa 10:11
2 Fal. 10:19Met 24:6; Mhu 9:12
2 Fal. 10:211Fa 11:35
2 Fal. 10:211Fa 16:32
2 Fal. 10:232Fa 10:15; Yer 35:6, 19
2 Fal. 10:231Fa 18:22
2 Fal. 10:241Fa 20:39
2 Fal. 10:25Kut 32:27; Kum 13:6, 8; Eze 9:5
2 Fal. 10:252Fa 7:17; 9:25
2 Fal. 10:26Law 26:1; 1Fa 14:23
2 Fal. 10:26Kum 7:25; 2Sa 5:21; 2Fa 19:18
2 Fal. 10:27Law 26:30; Kum 7:5
2 Fal. 10:271Fa 16:32
2 Fal. 10:27Ezr 6:11; Da 2:5
2 Fal. 10:291Fa 13:33
2 Fal. 10:291Fa 14:16; 2Fa 14:24
2 Fal. 10:291Fa 12:28; Ho. 8:6
2 Fal. 10:291Fa 12:29
2 Fal. 10:30Eze 29:20
2 Fal. 10:301Fa 21:21
2 Fal. 10:302Fa 13:1, 10; 14:23; 15:8, 12; Ayu 34:11; Ebr 6:10
2 Fal. 10:31Kum 10:12; 1Fa 2:4; Zb 78:10; Met 4:23; Ho. 1:4; Ebr 10:38
2 Fal. 10:311Fa 12:30; 13:34; 14:16
2 Fal. 10:321Fa 19:17; 2Fa 8:12; 13:22; Amo 1:4
2 Fal. 10:33Kum 3:15; Yos 22:9
2 Fal. 10:33Kum 3:16
2 Fal. 10:33Hes 32:33
2 Fal. 10:33Kum 3:13
2 Fal. 10:33Yos 13:9
2 Fal. 10:33Kum 28:63; Yos 13:12
2 Fal. 10:341Fa 14:19; 2Fa 13:8
2 Fal. 10:352Sa 7:12
2 Fal. 10:352Fa 13:1, 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 10:1-36

2 Wafalme

10 Basi Ahabu alikuwa na wana 70+ katika Samaria.+ Kwa hiyo Yehu akaandika barua, akazituma Samaria kwa wakuu+ wa Yezreeli, wanaume wazee+ na watunzaji wa Ahabu, na kusema: 2 “Basi, sasa, wakati ule barua hii inapowafikia ninyi, mnao wana wa bwana wenu pamoja nanyi, na mnayo magari ya vita na farasi+ pamoja nanyi na jiji lenye ngome na silaha. 3 Nanyi mwone ni nani aliye bora zaidi na mnyoofu zaidi kati ya wana wa bwana wenu, mkamweke yeye juu ya kiti cha ufalme cha baba yake.+ Halafu mpiganie nyumba ya bwana wenu.”

4 Nao wakaogopa sana, wakaanza kusema: “Tazama! Wafalme wawili+ hawakusimama mbele yake, nasi tutasimamaje?”+ 5 Kwa hiyo yule aliyekuwa juu ya nyumba na yule aliyekuwa juu ya jiji na wanaume wazee na watunzaji+ wakatuma ujumbe kwa Yehu, wakisema: “Sisi ni watumishi wako, na kila jambo unalotuambia tutafanya. Hatutamfanya yeyote kuwa mfalme. Fanya yaliyo mema machoni pako.”

6 Ndipo akawaandikia barua ya pili, na kusema: “Ikiwa ninyi ni wangu,+ nanyi mnaitii sauti yangu, chukueni vichwa vya hao wana+ wa bwana wenu, mje kwangu kesho wakati kama huu katika Yezreeli.”+

Basi wana wa mfalme, watu 70, walikuwa na wanaume mashuhuri wa jiji waliokuwa wakiwalea. 7 Na ikawa kwamba mara tu barua ile ilipowafikia, wakawachukua wale wana wa mfalme na kuwachinja, watu 70,+ kisha wakaviweka vichwa vyao ndani ya vikapu, wakampelekea kule Yezreeli. 8 Kisha yule mjumbe+ akaingia na kumwambia: “Wamevileta vichwa+ vya wana wa mfalme.” Kwa hiyo akasema: “Viwekeni katika mafungu mawili kwenye mwingilio wa lango mpaka asubuhi.”+ 9 Na ikawa kwamba wakati wa asubuhi akaondoka. Kisha akasimama tuli na kuwaambia watu wote: “Ninyi ni waadilifu.+ Tazama, mimi mwenyewe nilipanga hila+ juu ya bwana wangu, nami nikamuua;+ lakini ni nani aliyewapiga na kuwaua hawa wote? 10 Basi jueni kwamba hakuna neno lolote la Yehova litakaloanguka chini+ bila kutimizwa ambalo Yehova amesema juu ya nyumba ya Ahabu;+ na Yehova mwenyewe amefanya aliyoyasema kupitia Eliya mtumishi wake.”+ 11 Tena Yehu akaendelea kuwapiga na kuwaua wote waliobaki wa nyumba ya Ahabu katika Yezreeli na watu wake wote walio mashuhuri+ na rafiki zake na makuhani+ wake, mpaka alipokuwa amewaangamiza watu wake wote, bila kuacha mwokokaji yeyote abaki.+

12 Naye akasimama na kuingia, kisha akaenda zake Samaria. Nyumba ya kufungia ya wachungaji ilikuwa njiani. 13 Na Yehu akakutana na ndugu+ za Ahazia+ mfalme wa Yuda. Alipowaambia, “Ninyi ni nani?” ndipo wakasema: “Sisi ni ndugu za Ahazia, nasi tuko njiani kwenda kuuliza kama ni salama kwa wana wa mfalme na kwa wana wa malkia.” 14 Mara moja akasema: “Wakamateni wakiwa hai!”+ Kwa hiyo wakawakamata wakiwa hai, wakawachinja kando ya tangi la maji la ile nyumba ya kufungia, watu 42, naye hakumwacha hata mmoja wao abaki.+

15 Alipokuwa akienda kutoka hapo, akakutana na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu+ akija kumpokea. Alipombariki,+ akamwambia: “Je, moyo wako ni mnyoofu kunielekea mimi, kama vile moyo wangu ulivyo kuuelekea moyo wako?”+

Ndipo Yehonadabu akasema: “Ndiyo.”

“Ikiwa ndivyo, nipe mkono wako.”

Kwa hiyo akampa mkono wake. Basi akampandisha ndani ya gari pamoja naye.+ 16 Kisha akasema: “Enda pamoja nami, utazame jinsi ambavyo sivumilii ushindani+ wowote kumwelekea Yehova.” Nao wakaendelea kumwendesha pamoja naye katika gari lake la vita. 17 Mwishowe akafika Samaria. Sasa akaanza kuwapiga na kuwaua wote waliobaki wa Ahabu katika Samaria, mpaka akawaangamiza,+ kulingana na neno la Yehova alilomwambia Eliya.+

18 Tena Yehu akakusanya watu wote na kuwaambia: “Ahabu alimwabudu Baali kwa kiwango kidogo tu.+ Lakini Yehu atamwabudu kwa kiwango kikubwa. 19 Basi sasa waiteni kwangu manabii+ wote wa Baali, waabudu+ wake wote na makuhani+ wake wote. Msiache hata mmoja akose kuwapo, kwa sababu nina dhabihu kubwa kwa ajili ya Baali. Yeyote atakayekosa kuwapo hataendelea kuishi.” Kwa habari ya Yehu, yeye alitenda kwa ujanja,+ kusudi awaharibu waabudu wa Baali.

20 Na Yehu akaendelea kusema: “Takaseni kusanyiko kuu kwa ajili ya Baali.” Basi wakalitangaza. 21 Kisha Yehu akatuma ujumbe katika Israeli yote,+ hivi kwamba waabudu wote wa Baali wakaja. Hakuna hata mmoja aliyebaki ambaye hakuja. Nao wakaendelea kuingia katika nyumba ya Baali,+ na nyumba ya Baali ikajaa kutoka mwisho mpaka mwisho. 22 Sasa akamwambia yule aliyesimamia chumba cha nguo: “Toa mavazi kwa ajili ya waabudu wote wa Baali.” Basi akawatolea mavazi. 23 Ndipo Yehu akaingia na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu katika nyumba ya Baali. Sasa akawaambia waabudu wa Baali: “Tafuteni kwa uangalifu mhakikishe kwamba hamna hapa ndani pamoja nanyi waabudu wowote wa Yehova, isipokuwa tu waabudu wa Baali.”+ 24 Mwishowe wakaingia ili kutoa dhabihu na matoleo ya kuteketezwa, na Yehu akaweka watu 80 upande wa nje ili wawepo kwa ajili yake, naye akaendelea kusema: “Mtu yeyote atakayeponyoka kati ya watu ninaotia mikononi mwenu, nafsi ya huyo mtu itakuwa badala ya nafsi ya yule mwingine.”+

25 Na ikawa kwamba mara tu alipomaliza kutoa lile toleo la kuteketezwa, Yehu akawaambia mara moja wale wakimbiaji na maamiri wasaidizi: “Ingieni ndani, wapigeni na kuwaua! Msiache hata mmoja atoke nje.”+ Na wale wakimbiaji na maamiri wasaidizi+ wakaanza kuwapiga na kuwaua kwa makali ya upanga na kuwatupa nje, nao wakazidi kwenda mpaka kwenye jiji la nyumba ya Baali. 26 Kisha wakazitoa nje nguzo takatifu+ za nyumba ya Baali na kuteketeza+ kila moja kwa moto. 27 Tena wakabomoa nguzo takatifu ya Baali+ na kuibomoa nyumba ya Baali,+ nao wakaitenga iwe choo+ mpaka leo hii.

28 Kwa hiyo Yehu akaangamiza Baali kutoka katika Israeli. 29 Ni dhambi tu za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ ambazo Yehu hakugeuka asizifuate, yaani, wale ndama wa dhahabu+ ambao mmoja alikuwa katika Betheli na mwingine katika Dani.+ 30 Basi Yehova akamwambia Yehu: “Kwa kuwa umetenda vema kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu,+ nawe umeitendea nyumba ya Ahabu+ kulingana na yote yaliyokuwa moyoni mwangu, wana, kufikia kizazi cha nne, wataketi kwa ajili yako juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.”+ 31 Na Yehu hakuwa mwangalifu ili atembee katika sheria ya Yehova, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote.+ Yeye hakugeuka kutoka katika dhambi za Yeroboamu alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+

32 Siku hizo Yehova akaanza kukatilia mbali Israeli kipande kimoja baada ya kingine; na Hazaeli+ akaendelea kuwapiga katika eneo lote la Israeli, 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi,+ Wagadi+ na Warubeni+ na Wamanase,+ kutoka Aroeri,+ lililoko kando ya bonde la mto la Arnoni, naam, Gileadi na Bashani.+

34 Na mambo mengine ya Yehu na yote aliyofanya na uwezo wake wote, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 35 Mwishowe Yehu akalala pamoja na mababu+ zake, nao wakamzika katika Samaria; na Yehoahazi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 36 Na siku ambazo Yehu alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 28 katika Samaria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki