Mwanzo 47:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Yosefu akamwingiza Yakobo baba yake, akamjulisha kwa Farao, naye Yakobo akambariki Farao.+ Hesabu 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia: Ruthu 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+ Waroma 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki+ wala msiwe mkilaani.+
23 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki+ wana wa Israeli, na kuwaambia:
4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+