Luka 6:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kuwabariki wale wanaowalaani, kusali kwa ajili ya wale wanaowatusi.+ 1 Wakorintho 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+
12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+