Zaburi 109:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wao na watangaze laana,+Lakini wewe utangaze baraka.+Wamesimama, lakini acha waone aibu,+Na mtumishi wako na ashangilie.+ Waroma 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki+ wala msiwe mkilaani.+ 1 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.
28 Wao na watangaze laana,+Lakini wewe utangaze baraka.+Wamesimama, lakini acha waone aibu,+Na mtumishi wako na ashangilie.+
9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.