-
2 Wafalme 10:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Mara tu alipomaliza kutoa dhabihu ya kuteketezwa, Yehu akawaambia hivi walinzi* na makamanda wasaidizi: “Ingieni ndani na kuwaua! Msimwache yeyote aponyoke!”+ Basi walinzi na makamanda wasaidizi wakawaua kwa upanga na kuwatupa nje, wakaingia mpaka kwenye chumba kitakatifu cha ndani cha* nyumba hiyo ya Baali.
-