Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 11:1

Marejeo

  • +2Fa 8:26; 11:20; 2Nya 21:6; 22:10; 24:7
  • +2Fa 9:27; 2Nya 22:1
  • +2Nya 21:4; Ro 1:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Wafalme 11:2

Marejeo

  • +2Nya 22:11
  • +2Fa 12:1
  • +Amu 9:5; 2Fa 8:19; Zb 27:5

2 Wafalme 11:3

Marejeo

  • +2Nya 22:12; Zb 12:8; Isa 3:12; Mal 3:15; 1Ti 2:12

2 Wafalme 11:4

Marejeo

  • +2Fa 11:9; 2Nya 23:1
  • +2Fa 11:15, 19
  • +1Sa 8:11; 22:17; 2Sa 18:19; 1Fa 14:27
  • +1Sa 18:3; 2Fa 23:3; 2Nya 15:12
  • +Kum 6:13; Yer 12:16; Ebr 6:16

2 Wafalme 11:5

Marejeo

  • +1Fa 7:1

2 Wafalme 11:6

Marejeo

  • +2Nya 23:5
  • +1Fa 6:1

2 Wafalme 11:9

Marejeo

  • +2Fa 11:4
  • +2Nya 23:8

2 Wafalme 11:10

Marejeo

  • +2Nya 23:9

2 Wafalme 11:11

Marejeo

  • +1Sa 8:11; 2Sa 15:1; 1Fa 14:27
  • +Kut 40:6; 1Fa 8:22; 2Nya 4:1

2 Wafalme 11:12

Marejeo

  • +2Fa 11:2; 2Nya 23:11
  • +2Sa 1:10; Zb 132:18
  • +Kut 25:21; 31:18
  • +1Fa 1:38
  • +Kut 30:23; 1Fa 1:39
  • +1Fa 1:40; Zb 47:1
  • +1Fa 1:34; Zb 72:15; Mhu 10:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1991, uku. 31

2 Wafalme 11:13

Marejeo

  • +2Nya 23:12

2 Wafalme 11:14

Marejeo

  • +2Fa 23:3; 2Nya 34:31
  • +2Nya 5:12
  • +1Fa 1:40; Met 29:2
  • +2Fa 11:1, 3
  • +2Nya 23:13

2 Wafalme 11:15

Marejeo

  • +2Fa 11:4; 2Nya 23:9
  • +2Nya 23:14

2 Wafalme 11:16

Marejeo

  • +2Nya 23:15
  • +1Fa 7:1
  • +Mwa 9:6; Kut 21:12; Law 24:17; Hes 35:30

2 Wafalme 11:17

Marejeo

  • +Yos 24:25
  • +Kum 5:3
  • +1Sa 10:25; 2Sa 5:3
  • +2Nya 23:16

2 Wafalme 11:18

Marejeo

  • +Kum 12:3
  • +Kum 7:25
  • +Kum 13:5, 9
  • +2Nya 23:17
  • +2Nya 23:18

2 Wafalme 11:19

Marejeo

  • +2Fa 11:4, 15
  • +1Fa 14:27
  • +2Nya 23:20
  • +2Sa 7:16; 1Nya 29:23; Yer 17:25; 22:4

2 Wafalme 11:20

Marejeo

  • +Met 11:10; 29:2
  • +2Nya 23:21

2 Wafalme 11:21

Marejeo

  • +2Fa 11:2
  • +2Nya 24:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 11:12Fa 8:26; 11:20; 2Nya 21:6; 22:10; 24:7
2 Fal. 11:12Fa 9:27; 2Nya 22:1
2 Fal. 11:12Nya 21:4; Ro 1:29
2 Fal. 11:22Nya 22:11
2 Fal. 11:22Fa 12:1
2 Fal. 11:2Amu 9:5; 2Fa 8:19; Zb 27:5
2 Fal. 11:32Nya 22:12; Zb 12:8; Isa 3:12; Mal 3:15; 1Ti 2:12
2 Fal. 11:42Fa 11:9; 2Nya 23:1
2 Fal. 11:42Fa 11:15, 19
2 Fal. 11:41Sa 8:11; 22:17; 2Sa 18:19; 1Fa 14:27
2 Fal. 11:41Sa 18:3; 2Fa 23:3; 2Nya 15:12
2 Fal. 11:4Kum 6:13; Yer 12:16; Ebr 6:16
2 Fal. 11:51Fa 7:1
2 Fal. 11:62Nya 23:5
2 Fal. 11:61Fa 6:1
2 Fal. 11:92Fa 11:4
2 Fal. 11:92Nya 23:8
2 Fal. 11:102Nya 23:9
2 Fal. 11:111Sa 8:11; 2Sa 15:1; 1Fa 14:27
2 Fal. 11:11Kut 40:6; 1Fa 8:22; 2Nya 4:1
2 Fal. 11:122Fa 11:2; 2Nya 23:11
2 Fal. 11:122Sa 1:10; Zb 132:18
2 Fal. 11:12Kut 25:21; 31:18
2 Fal. 11:121Fa 1:38
2 Fal. 11:12Kut 30:23; 1Fa 1:39
2 Fal. 11:121Fa 1:40; Zb 47:1
2 Fal. 11:121Fa 1:34; Zb 72:15; Mhu 10:17
2 Fal. 11:132Nya 23:12
2 Fal. 11:142Fa 23:3; 2Nya 34:31
2 Fal. 11:142Nya 5:12
2 Fal. 11:141Fa 1:40; Met 29:2
2 Fal. 11:142Fa 11:1, 3
2 Fal. 11:142Nya 23:13
2 Fal. 11:152Fa 11:4; 2Nya 23:9
2 Fal. 11:152Nya 23:14
2 Fal. 11:162Nya 23:15
2 Fal. 11:161Fa 7:1
2 Fal. 11:16Mwa 9:6; Kut 21:12; Law 24:17; Hes 35:30
2 Fal. 11:17Yos 24:25
2 Fal. 11:17Kum 5:3
2 Fal. 11:171Sa 10:25; 2Sa 5:3
2 Fal. 11:172Nya 23:16
2 Fal. 11:18Kum 12:3
2 Fal. 11:18Kum 7:25
2 Fal. 11:18Kum 13:5, 9
2 Fal. 11:182Nya 23:17
2 Fal. 11:182Nya 23:18
2 Fal. 11:192Fa 11:4, 15
2 Fal. 11:191Fa 14:27
2 Fal. 11:192Nya 23:20
2 Fal. 11:192Sa 7:16; 1Nya 29:23; Yer 17:25; 22:4
2 Fal. 11:20Met 11:10; 29:2
2 Fal. 11:202Nya 23:21
2 Fal. 11:212Fa 11:2
2 Fal. 11:212Nya 24:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 11:1-21

2 Wafalme

11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+ 2 Hata hivyo, Yehosheba+ binti ya Mfalme Yehoramu, dada ya Ahazia, akamchukua Yehoashi+ mwana wa Ahazia, akamwiba kutoka kati ya wana wa mfalme waliopaswa kuuawa, naam, yeye na mlezi wake mwanamke, akamwingiza katika chumba cha ndani cha vitanda, nao wakaendelea kumficha+ kutoka machoni pa Athalia, naye hakuuawa. 3 Naye akaendelea kuwa pamoja na mwanamke huyo mafichoni katika nyumba ya Yehova kwa miaka sita, Athalia alipokuwa akitawala juu ya nchi.+

4 Na katika mwaka wa saba Yehoyada+ akatuma watu, kisha akawachukua wakuu wa mamia wa walinzi Wakari+ na wa wakimbiaji+ na kuwaleta kwake katika nyumba ya Yehova, akafanya agano+ pamoja nao na kuwaapisha+ katika nyumba ya Yehova, kisha akawaonyesha mwana wa mfalme. 5 Naye akawaamuru, akisema: “Hivi ndivyo mtakavyofanya: Sehemu ya tatu kati yenu mtaingia siku ya sabato na kuweka ulinzi mkali juu ya nyumba ya mfalme;+ 6 na sehemu ya tatu watakuwa kwenye Lango+ la Msingi, na sehemu ya tatu watakuwa katika lango nyuma ya wakimbiaji; nanyi mweke ulinzi mkali juu ya nyumba+ kwa zamu. 7 Na kuna migawanyo miwili kati yenu ambayo yote inatoka siku ya sabato, nao lazima waweke ulinzi mkali juu ya nyumba ya Yehova kwa ajili ya mfalme. 8 Nanyi mnapaswa kumzunguka mfalme pande zote, kila mmoja akiwa na silaha zake mkononi mwake; na yeyote atakayeingia katikati ya vikosi atauawa. Nanyi mwendelee kuwa na mfalme anapotoka nje na anapoingia ndani.”

9 Na wale wakuu wa mamia+ wakafanya kulingana na yote ambayo Yehoyada kuhani alikuwa ameamuru. Basi kila mmoja wao akachukua watu wake waliokuwa wakiingia wakati wa sabato,+ pamoja na wale waliokuwa wakitoka nje wakati wa sabato, kisha wakamjia Yehoyada kuhani. 10 Sasa kuhani akawapa wale wakuu wa mamia mikuki na ngao za mviringo zilizokuwa za Mfalme Daudi, ambazo zilikuwa katika nyumba ya Yehova.+ 11 Na wakimbiaji+ wakaendelea kusimama kila mmoja akiwa na silaha zake mkononi mwake, kuanzia upande wa kuume wa nyumba mpaka upande wa kushoto wa nyumba, kando ya madhabahu+ na kando ya nyumba, pande zote karibu na mfalme. 12 Kisha akamtoa nje mwana+ wa mfalme, akamvika taji+ na ule Ushuhuda;+ na basi wakamfanya kuwa mfalme+ na kumtia mafuta.+ Nao wakaanza kupiga makofi+ na kusema: “Mfalme na aishi!”+

13 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia, mara moja akaingia kwa watu katika nyumba ya Yehova.+ 14 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ kama ilivyo desturi, na wakuu na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi wakishangilia+ na kupiga tarumbeta. Athalia+ akayararua mavazi yake mara moja, akaanza kulia: “Ni hila! Ni hila!”+ 15 Lakini Yehoyada kuhani akawaamuru wakuu wa mamia, watu waliochaguliwa wa jeshi,+ na kuwaambia: “Mwondoeni katikati ya vikosi, na yeyote atakayemfuata, auawe kwa upanga!”+ Kwa maana kuhani yule alikuwa amesema: “Asiuawe ndani ya nyumba ya Yehova.” 16 Basi wakamkamata, akafika kando ya njia ya mlango wa farasi+ wa nyumba ya mfalme,+ naye akauawa huko.+

17 Ndipo Yehoyada akafanya agano+ kati ya Yehova+ na mfalme+ na watu, ili kwamba wajionyeshe kuwa watu wa Yehova; na pia kati ya mfalme na watu.+ 18 Kisha watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali, wakazibomoa madhabahu zake;+ nao wakazivunja kabisa+ sanamu zake, nao, mbele ya zile madhabahu,+ wakamuua Matani+ kuhani wa Baali.

Na kuhani akaweka waangalizi juu ya nyumba ya Yehova.+ 19 Tena akawachukua wakuu wa mamia na walinzi Wakari+ na wakimbiaji+ na watu wote wa nchi, ili wamshushe mfalme kutoka katika nyumba ya Yehova; nao wakaja polepole kupitia njia ya lango+ la wakimbiaji mpaka kwenye nyumba ya mfalme; naye akaanza kuketi juu ya kiti cha wafalme.+ 20 Na watu wote wa nchi wakaendelea kushangilia;+ nalo jiji halikuwa na usumbufu, nao walikuwa wamemuua Athalia kwa upanga nyumbani kwa mfalme.+

21 Yehoashi+ alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki