4 Na katika mwaka wa saba Yehoyada+ akatuma watu, kisha akawachukua wakuu wa mamia wa walinzi Wakari+ na wa wakimbiaji+ na kuwaleta kwake katika nyumba ya Yehova, akafanya agano+ pamoja nao na kuwaapisha+ katika nyumba ya Yehova, kisha akawaonyesha mwana wa mfalme.
15 Lakini Yehoyada kuhani akawaamuru wakuu wa mamia, watu waliochaguliwa wa jeshi,+ na kuwaambia: “Mwondoeni katikati ya vikosi, na yeyote atakayemfuata, auawe kwa upanga!”+ Kwa maana kuhani yule alikuwa amesema: “Asiuawe ndani ya nyumba ya Yehova.”