Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yonathani na Daudi wakafanya agano,+ kwa maana alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.+

  • 2 Wafalme 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na mfalme akaendelea kusimama kando ya nguzo+ na kulifanya agano+ mbele za Yehova, ili kutembea+ kwa kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na sheria+ zake kwa moyo+ wote na kwa nafsi+ yote kwa kuyatenda maneno ya agano hili yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+ Basi watu wote wakachukua msimamo wao katika agano lile.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zaidi ya hayo, wakaingia katika agano+ ili kumtafuta Yehova Mungu wa mababu zao kwa moyo wao wote na kwa nafsi yao yote;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki