-
2 Wafalme 23:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Na mfalme akaendelea kusimama kando ya nguzo+ na kulifanya agano+ mbele za Yehova, ili kutembea+ kwa kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na sheria+ zake kwa moyo+ wote na kwa nafsi+ yote kwa kuyatenda maneno ya agano hili yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+ Basi watu wote wakachukua msimamo wao katika agano lile.+
-
-
Nehemia 10:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 walikuwa wakishikamana na ndugu zao,+ watu wao mashuhuri,+ na kuingia katika laana+ na kiapo,+ kwamba watatembea katika sheria ya Mungu wa kweli, ambayo ilitolewa kupitia mkono wa Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ na kushika+ na kufanya amri zote za Yehova Bwana wetu+ na maamuzi yake ya hukumu na masharti yake;+
-