32 Na zaidi ya hayo, akawafanya wale wote waliopatikana katika Yerusalemu na Benyamini wachukue msimamo wao katika hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakafanya kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+
2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+