2 Mambo ya Nyakati 34:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Zaidi ya hayo, aliwahimiza watu wote waliokuwa Yerusalemu na Benjamini wakubali agano hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakatenda kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+
32 Zaidi ya hayo, aliwahimiza watu wote waliokuwa Yerusalemu na Benjamini wakubali agano hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakatenda kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+