2 Mambo ya Nyakati 34:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na zaidi ya hayo, akawafanya wale wote waliopatikana katika Yerusalemu na Benyamini wachukue msimamo wao katika hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakafanya kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+
32 Na zaidi ya hayo, akawafanya wale wote waliopatikana katika Yerusalemu na Benyamini wachukue msimamo wao katika hilo. Na wakaaji wa Yerusalemu wakafanya kulingana na agano la Mungu, Mungu wa mababu zao.+