27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema; nawe ndiye utakayesema nasi yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema nawe,+ nasi hakika tutasikiliza na kuyatenda.’
28“Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+