Yoshua 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Yoshua akafanya agano na wale watu siku hiyo na kuwawekea sharti na uamuzi wa hukumu+ katika Shekemu. 2 Mambo ya Nyakati 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Zaidi ya hayo, wakaingia katika agano+ ili kumtafuta Yehova Mungu wa mababu zao kwa moyo wao wote na kwa nafsi yao yote;+ 2 Mambo ya Nyakati 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Yehoyada akafanya agano kati yake na watu wote na mfalme kwamba wao wataendelea kuwa watu+ wa Yehova.
25 Na Yoshua akafanya agano na wale watu siku hiyo na kuwawekea sharti na uamuzi wa hukumu+ katika Shekemu.
12 Zaidi ya hayo, wakaingia katika agano+ ili kumtafuta Yehova Mungu wa mababu zao kwa moyo wao wote na kwa nafsi yao yote;+
16 Ndipo Yehoyada akafanya agano kati yake na watu wote na mfalme kwamba wao wataendelea kuwa watu+ wa Yehova.