Kumbukumbu la Torati 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+ 2 Wafalme 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.
24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+
8 Baadaye Hilkia+ kuhani mkuu akamwambia Shafani+ mwandishi:+ “Nimepata kile kitabu chenyewe cha sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kile kitabu, naye akaanza kukisoma.