3 Mfalme akasimama karibu na nguzo na kufanya agano mbele za Yehova,+ kwamba atamfuata Yehova na kushika amri zake, vikumbusho vyake, na sheria zake kwa moyo wake wote na kwa nafsi yake yote kwa kutekeleza maneno ya agano hilo yaliyoandikwa katika kitabu hicho. Watu wote wakakubali agano hilo.+