14 Lakini Yehoyada kuhani akawatoa nje wale wakuu wa mamia, watu waliochaguliwa wa jeshi, na kuwaambia: “Mwondoeni katikati ya vikosi;+ na yeyote atakayemfuata, auawe kwa upanga!” Kwa maana kuhani yule alikuwa amesema: “Msimuue ndani ya nyumba ya Yehova.”