Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye akatawala mwaka mmoja katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Athalia+ mjukuu wa Omri+ mfalme wa Israeli.

  • 2 Wafalme 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na watu wote wa nchi wakaendelea kushangilia;+ nalo jiji halikuwa na usumbufu, nao walikuwa wamemuua Athalia kwa upanga nyumbani kwa mfalme.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu; kwa maana binti ya Ahabu alikuwa amekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia, yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa kifalme wa nyumba ya Yuda.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana wana wa Athalia yule mwanamke mwovu+ walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ na hata vitu vyote vitakatifu+ vya nyumba ya Yehova walikuwa wamevitolea Mabaali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki