2 Wafalme 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu;+ kwa maana binti ya Ahabu ndiye aliyekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. 2 Wafalme 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+ 2 Wafalme 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia, mara moja akaingia kwa watu katika nyumba ya Yehova.+ 2 Wafalme 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakamkamata, akafika kando ya njia ya mlango wa farasi+ wa nyumba ya mfalme,+ naye akauawa huko.+
18 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu;+ kwa maana binti ya Ahabu ndiye aliyekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.
11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+
13 Athalia aliposikia sauti ya watu wakikimbia, mara moja akaingia kwa watu katika nyumba ya Yehova.+
16 Basi wakamkamata, akafika kando ya njia ya mlango wa farasi+ wa nyumba ya mfalme,+ naye akauawa huko.+