Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

  • 1 Wafalme 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+

  • 2 Wafalme 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amepaharibu,+ akasimamisha madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu, kama alivyofanya Ahabu+ mfalme wa Israeli; naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 bali unatembea katika njia ya wafalme wa Israeli+ na kuwafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wafanye uasherati+ kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya watu wafanye uasherati,+ na hata umewaua ndugu zako, nyumba ya baba yako, waliokuwa bora kuliko wewe;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki