22 Na ikawa kwamba mara tu Yehoramu alipomwona Yehu, mara moja akasema: “Je, kuna amani, Yehu?” Lakini yeye akasema: “Kunaweza kuwa na amani+ gani wakati kungali na uasherati wa Yezebeli+ mama yako na ulozi wake mwingi?”+
11 Yeye pia alikuwa ametengeneza mahali pa juu+ katika milima ya Yuda, ili awasababishe wakaaji wa Yerusalemu kufanya uasherati,+ na ili afukuzie Yuda mbali.+