Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 21:1

Marejeo

  • +1Fa 22:50
  • +2Nya 32:33
  • +2Fa 8:16

2 Mambo ya Nyakati 21:3

Marejeo

  • +Mwa 25:6
  • +2Nya 11:23; Met 13:22
  • +2Fa 8:16
  • +Mwa 43:33

2 Mambo ya Nyakati 21:4

Marejeo

  • +Mwa 4:8; Amu 9:5

2 Mambo ya Nyakati 21:5

Marejeo

  • +2Fa 8:17

2 Mambo ya Nyakati 21:6

Marejeo

  • +1Fa 14:9; Ho. 4:1
  • +2Fa 8:18; 2Nya 22:2; Ne 13:26
  • +1Sa 2:30; 1Fa 16:25; 2Nya 29:6

2 Mambo ya Nyakati 21:7

Marejeo

  • +2Sa 7:16
  • +2Sa 23:5; Zb 89:28; Yer 33:21
  • +2Sa 7:12
  • +1Fa 11:36; 2Fa 8:19; Zb 132:11

2 Mambo ya Nyakati 21:8

Marejeo

  • +Mwa 27:40
  • +2Fa 8:20
  • +1Fa 22:47

2 Mambo ya Nyakati 21:10

Marejeo

  • +Yos 21:13; 2Fa 19:8
  • +Kut 3:6; Kum 32:21; 1Fa 11:33; 2Nya 15:2; Yer 2:13

2 Mambo ya Nyakati 21:11

Marejeo

  • +Kum 12:2
  • +2Fa 21:11; Ufu 2:20
  • +Kum 4:27

2 Mambo ya Nyakati 21:12

Marejeo

  • +Yoh 3:13
  • +2Fa 2:1, 11
  • +2Nya 17:3
  • +1Fa 15:11; 2Nya 14:5

2 Mambo ya Nyakati 21:13

Marejeo

  • +1Fa 16:25, 33
  • +Kut 34:15; Yer 3:8
  • +2Fa 9:22; 2Nya 21:11
  • +Kut 20:13; 2Nya 21:4

2 Mambo ya Nyakati 21:14

Marejeo

  • +Kum 28:22
  • +Law 26:21; Ho. 5:11; Mik 6:16
  • +Kut 20:5

2 Mambo ya Nyakati 21:15

Marejeo

  • +Kum 28:61; Mdo 12:23
  • +Kum 28:21

2 Mambo ya Nyakati 21:16

Marejeo

  • +1Fa 11:14; 2Nya 33:11; Ezr 1:1; Isa 10:5
  • +Yos 13:2; 2Sa 8:1
  • +2Nya 9:14; 17:11
  • +2Fa 19:9; 2Nya 12:3; 14:12

2 Mambo ya Nyakati 21:17

Marejeo

  • +1Fa 14:26
  • +1Sa 30:3
  • +2Nya 22:6; 25:23

2 Mambo ya Nyakati 21:18

Marejeo

  • +Kum 28:59; 2Nya 21:15; Mhu 3:17; Mdo 12:23

2 Mambo ya Nyakati 21:19

Marejeo

  • +2Sa 20:10
  • +2Nya 16:14; Yer 34:5

2 Mambo ya Nyakati 21:20

Marejeo

  • +Met 10:7; 11:10; 29:2; Mhu 8:10; Yer 22:18
  • +1Fa 2:10
  • +2Nya 24:25; 28:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 11/15 32

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 21:11Fa 22:50
2 Nya. 21:12Nya 32:33
2 Nya. 21:12Fa 8:16
2 Nya. 21:3Mwa 25:6
2 Nya. 21:32Nya 11:23; Met 13:22
2 Nya. 21:32Fa 8:16
2 Nya. 21:3Mwa 43:33
2 Nya. 21:4Mwa 4:8; Amu 9:5
2 Nya. 21:52Fa 8:17
2 Nya. 21:61Fa 14:9; Ho. 4:1
2 Nya. 21:62Fa 8:18; 2Nya 22:2; Ne 13:26
2 Nya. 21:61Sa 2:30; 1Fa 16:25; 2Nya 29:6
2 Nya. 21:72Sa 7:16
2 Nya. 21:72Sa 23:5; Zb 89:28; Yer 33:21
2 Nya. 21:72Sa 7:12
2 Nya. 21:71Fa 11:36; 2Fa 8:19; Zb 132:11
2 Nya. 21:8Mwa 27:40
2 Nya. 21:82Fa 8:20
2 Nya. 21:81Fa 22:47
2 Nya. 21:10Yos 21:13; 2Fa 19:8
2 Nya. 21:10Kut 3:6; Kum 32:21; 1Fa 11:33; 2Nya 15:2; Yer 2:13
2 Nya. 21:11Kum 12:2
2 Nya. 21:112Fa 21:11; Ufu 2:20
2 Nya. 21:11Kum 4:27
2 Nya. 21:12Yoh 3:13
2 Nya. 21:122Fa 2:1, 11
2 Nya. 21:122Nya 17:3
2 Nya. 21:121Fa 15:11; 2Nya 14:5
2 Nya. 21:131Fa 16:25, 33
2 Nya. 21:13Kut 34:15; Yer 3:8
2 Nya. 21:132Fa 9:22; 2Nya 21:11
2 Nya. 21:13Kut 20:13; 2Nya 21:4
2 Nya. 21:14Kum 28:22
2 Nya. 21:14Law 26:21; Ho. 5:11; Mik 6:16
2 Nya. 21:14Kut 20:5
2 Nya. 21:15Kum 28:61; Mdo 12:23
2 Nya. 21:15Kum 28:21
2 Nya. 21:161Fa 11:14; 2Nya 33:11; Ezr 1:1; Isa 10:5
2 Nya. 21:16Yos 13:2; 2Sa 8:1
2 Nya. 21:162Nya 9:14; 17:11
2 Nya. 21:162Fa 19:9; 2Nya 12:3; 14:12
2 Nya. 21:171Fa 14:26
2 Nya. 21:171Sa 30:3
2 Nya. 21:172Nya 22:6; 25:23
2 Nya. 21:18Kum 28:59; 2Nya 21:15; Mhu 3:17; Mdo 12:23
2 Nya. 21:192Sa 20:10
2 Nya. 21:192Nya 16:14; Yer 34:5
2 Nya. 21:20Met 10:7; 11:10; 29:2; Mhu 8:10; Yer 22:18
2 Nya. 21:201Fa 2:10
2 Nya. 21:202Nya 24:25; 28:27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 21:1-20

2 Mambo ya Nyakati

21 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 2 Naye alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati, Azaria na Yehieli na Zekaria na Azaria na Mikaeli na Shefatia, hao wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli. 3 Basi baba yao akawapa zawadi+ nyingi za fedha na dhahabu na vitu bora pamoja na majiji yenye ngome katika Yuda;+ lakini ufalme akampa Yehoramu,+ kwa maana yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.+

4 Wakati Yehoramu aliposimama kuwa juu ya ufalme wa baba yake, alikiimarisha cheo chake, kwa hiyo akawaua ndugu zake+ wote kwa upanga na pia baadhi ya wakuu wa Israeli. 5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye akatawala+ miaka 8 katika Yerusalemu. 6 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu; kwa maana binti ya Ahabu alikuwa amekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ 7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+

8 Katika siku zake Edomu+ waliasi kutoka chini ya mkono wa Yuda,+ nao wakaweka mfalme atawale juu yao.+ 9 Basi Yehoramu pamoja na wakuu wake wakavuka na pia magari yote pamoja naye. Na ikawa kwamba aliondoka wakati wa usiku, akawapiga na kuwaua Waedomu waliokuwa wamemzunguka na pia wale wakuu wa magari. 10 Lakini Edomu wakaendelea kuasi kutoka chini ya mkono wa Yuda mpaka leo hii. Wakati huo ndipo Libna+ wakaanza kuasi kutoka chini ya mkono wake, kwa sababu yeye alikuwa amemwacha Yehova Mungu wa mababu zake.+ 11 Yeye pia alikuwa ametengeneza mahali pa juu+ katika milima ya Yuda, ili awasababishe wakaaji wa Yerusalemu kufanya uasherati,+ na ili afukuzie Yuda mbali.+

12 Mwishowe maandishi+ yakaja kwake kutoka kwa Eliya+ nabii, na kusema: “Yehova Mungu wa Daudi babu yako, amesema hivi, ‘Kwa sababu hukutembea katika njia za Yehoshafati+ baba yako wala katika njia za Asa+ mfalme wa Yuda, 13 bali unatembea katika njia ya wafalme wa Israeli+ na kuwafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wafanye uasherati+ kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya watu wafanye uasherati,+ na hata umewaua ndugu zako, nyumba ya baba yako, waliokuwa bora kuliko wewe;+ 14 tazama! Yehova analeta pigo kubwa+ kwa watu wako+ na kwa wana wako+ na kwa wake zako na kwa mali zako zote. 15 Nawe utakuwa na magonjwa mengi,+ na ugonjwa wa matumbo yako, mpaka matumbo yako yatakapotoka nje kwa sababu ya ugonjwa huo siku baada ya siku.’”+

16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+ 17 Basi wakapanda na kuingia Yuda na kuifungua kwa nguvu na kuteka mali zote zilizokuwa katika nyumba ya mfalme+ na pia wanawe na wake zake,+ wala hakuachiwa mwana yeyote ila Yehoahazi,+ mwana wake aliye mdogo zaidi. 18 Na baada ya hayo yote Yehova akampiga katika matumbo yake kwa ugonjwa ambao haukuweza kuponywa.+ 19 Na ikawa kwamba katika siku zilizofuata, kipindi cha miaka miwili kamili kilipokwisha, matumbo+ yake yakatoka nje wakati wa ugonjwa wake, na mwishowe akafa katika magonjwa yake mabaya; na watu wake hawakumfanyia mfukizo kama ule mfukizo+ waliowafanyia mababu zake. 20 Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 32, naye akatawala miaka 8 katika Yerusalemu. Mwishowe akaenda zake bila kutamaniwa.+ Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki