Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+

      Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,

      Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+

      Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,

      Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+

  • Zaburi 89:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitahifadhi fadhili zangu zenye upendo kwake mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nalo agano langu litakuwa lenye uaminifu kwake.+

  • Yeremia 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki