Yeremia 33:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 hapo ndipo agano langu pamoja na mtumishi wangu Daudi lingeweza kuvunjwa,+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme kwenye kiti chake cha ufalme,+ na pia agano langu pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+
21 hapo ndipo agano langu pamoja na mtumishi wangu Daudi lingeweza kuvunjwa,+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme kwenye kiti chake cha ufalme,+ na pia agano langu pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+