Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+

      17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+

  • 2 Samweli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Je, sivyo ilivyo nyumba yangu mbele za Mungu?

      Kwa maana amefanya pamoja nami agano la milele,+

      Lililopangwa kwa utaratibu katika kila jambo na kuhakikishwa.

      Kwa sababu linamaanisha wokovu wangu wote na furaha yangu yote,

      Je, yeye halifanyi lisitawi kwa sababu hiyo?+

  • Zaburi 89:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sitavunja agano langu+

      Wala kubadili maneno yaliyosemwa na midomo yangu.+

      35 Nimeapa katika utakatifu wangu, mara moja kwa wakati wote;

      Sitamwambia Daudi uwongo.+

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi;

      Kwa hakika hatakosa kutimiza neno lake:

      “Mmoja wa wazao wako,*

      Nitamfanya aketi kwenye kiti chako cha ufalme.+

  • Isaya 55:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tegeni sikio na mje kwangu.+

      Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,

      Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+

      Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki