Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo. Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Amosi 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,Na kujenga upya magofu yake;Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,Na kujenga upya magofu yake;Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+