Zaburi 72:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+ Zaburi 72:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena. Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+
7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.
44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+