11 “Sasa, mwanangu, Yehova na awe pamoja nawe, nawe ufanikiwe na kujenga nyumba ya Yehova Mungu wako, kama alivyosema kukuhusu wewe.+ 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji+ atakapokupa mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Yehova Mungu wako.+