Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo. Isaya 11:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+ 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+ Isaya 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa uadilifu,+Na wakuu watatawala kwa haki.
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
3 Naye atafurahia kumwogopa Yehova.+ Hatahukumu kwa mambo anayoona kwa macho yake,Wala kukaripia kulingana tu na mambo anayosikia kwa masikio yake.+ 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+