Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

      Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

  • Zaburi 72:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,

      Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+

  • Isaya 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa wingi wa utawala wake*

      Na amani, hakutakuwa na mwisho,+

      Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake

      Ili kuuimarisha kabisa+ na kuutegemeza

      Kupitia haki+ na uadilifu,+

      Kuanzia sasa mpaka milele.

      Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.

  • Isaya 11:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

      Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

      Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

      Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

       5 Uadilifu utakuwa mshipi kiunoni mwake,

      Na uaminifu mshipi wa kiuno chake.+

  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Shangilia sana, Ee binti ya Sayuni.

      Paza sauti kwa ushindi, Ee binti ya Yerusalemu.

      Tazama! Mfalme wako anakuja kwako.+

      Yeye ni mwadilifu, analeta wokovu,*

      Ni mnyenyekevu+ na amepanda punda,

      Amepanda mwanapunda dume,* mwana wa punda jike.+

  • Waebrania 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+

  • Ufunuo 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki